RafikiElimu  EDUCATION  Consultancy
  ni Taasisi  binafsi  inayo  jihusisha  na  USIMAMIZI wa  MAENDELEO  ya  KITAALUMA  kwa  wanafunzi  wanao  soma  katika  shule  za  sekondari  Tanzania. 

Taasisi  kwa  makubaliano binafsi  kati ya taasisi  na  mzazi/mlezi,   inafanya  kazi  ya   kufuatilia  na  kusimamia  maendeleo ya  kitaaluma  kwa  wanafunzi  wanao  soma  katika  shule  za  kutwa  ( Day  Scholars ) pamoja na  wale  wanao  soma  katika  shule  za  bweni  (  Boarding  Scholars )

Tasisi  ina toa  huduma  hii  kwa  wanafunzi  wa  sekondari  waliopo  ndani  ya  mkoa  wa  Dar  Es  Salaam, pamoja  na  wale waliopo  nje  ya  mkoa  wa  Dar  Es  Salaam.

Vile  vile, RafikiElimu   EDUCATION  Consultancy  ina  wasimamia  pia wanafunzi  wanao  jiandaa  na  mitihani  ya  kidato  cha  nne, au  sita  kama  watahiniwa  binafsi ( Private Candindates ) , wanafunzi  wanao  jiandaa  kurudia  mitihani  yao  ya  kidato  cha  nne au  sita  ( Reseaters), pamoja  na  wanafunzi  wanao  soma  masomo ya  kidato  cha  nne  kwa  programu ya  miaka  miwili  au  kidato  cha  tano  na  sita  kwa  programu ya  mwaka mmoja.

Lengo  kuu  la taasisi  ni  kuhakikisha  wanafunzi  wote  inao   walea  kitaaluma  na kuwasimamia  kitaaluma, wanafaulu  kwa  kiwango cha  juu  kabisa  katika  mitihani  yao  ya  kidato cha  nne  na  ile ya  kidato  cha  sita.

Tunapatikana  CHANIKA  jijini  DAR  ES  SALAAM, kupitia  simu  namba

 0717 80 69 44.

Unaweza  pia  kuwasiliana  nasi  kupitia  barua  pepe  yetu  ambayo  ni : rafikielimutanzania@gmail.com

RafikiElimu  EDUCATION  Consultancy , tumeandaa  makala  fupi inayo  elezea  namna  suala  la  kunakili  notisi  zenye  makosa  miongoni mwa  wanafunzi  wanao  soma  katika  shule  za  sekondari  nchini  Tanzania, linavyo  sababisha  wanafunzi  hao  kufanya  vibaya  katika  mitihani  yao  ya  mwisho na  namna    ya  kukabiliana  na  tatizo  hilo kitaalamu.

Unaweza  kusoma  kwa  kirefu  kuhusu  Makala  hayo, kwa  kubofya  link  hii  hapo  chini :

http://rafikielimu.blogspot.com/2022/06/kunakili-kuandika-notisi-zenye-makosa.html