Viwanja Bei Nafuu: Mapinga na Bunju

MAPINGA: Tunauza viwanja, ukubwa sqm 600 (mita 20/30) kwa bei nafuu sana ya TZ 8 million badala ya bei ya awali ya TZ 10 million.

NA ukubwa sqm 900 (mita 30/30) bei nafuu sana ya TZ 11 million badala ya bei ya awali ya TZ 14 million.

Viwanja vimebaki vinane (8) tu.
Wahi upate ofa hii ndani ya mwezi huu wa January. Viwanja hivi viko Mapinga, km 3 tu kutoka Baobab sec.

BUNJU:  vipo viwanja kuanzia bei ya TZ 30 million mpaka TZ 80 million, TSHS 35,000 per sqm.

Call 0758603077 au whatsap 0757100236