Rais Mstaafu wa Marekani, Donald Trump anakusudia kuzindua mtandao wake wa kijamii, Truth Social, ambao anasema utakuwa mshindani wa mitandao mikubwa kama Twitter & Facebook.

Mitandao mbalimbali ilimfungia Trump baada ya mamia ya wafuasi wake kuvamia Bunge la Marekani Januari 6.