Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Ushetu Mkoa wa Shinyanga, Linno Mwageni amemtangaza Mgombea wa CCM, Emmanuel Peter Cherehani kuwa Mbunge wa Jimbo hilo baada ya kupata kura 103,357 dhidi ya Mabula Nkwabi Julius wa ACT Wazalendo aliyepata kura 3,588.