Viwanja: Bunju Mwisho

Nauza viwanja Bei nafuu sana, sh 13,000 tu kwa sqm moja, hapa vipo viwanja kuanzia million 4. Mil 6, mil 8, mil 10, mil 12 na mil 16.
Viwanja vipo mpakani mwa Mapinga Bunju, mtaa wa Kimele, km 3 tu kutoka Bunju B na km 2 tu kutoka main road (Bagamoyo Road).

Viwanja vimepimwa, ni vizuri sana na viko juu (sio bondeni).
Huduma za maji na umeme zipo. Wahi uvione na ufanye malipo bank.

Hakuna dalali/udalali.
Nipgie, Mhusika: 0758603077 au whatsap:0757100236