Michezo ya kubashiri ina kua  kwa kasi sana nchini Tanzania ni kutokana na hali ya mabadiliko ya ukuaji wa kiuchumi unao pambishwa na sera nzuri za uwekezaji za sasa kuwa rafiki kwa wekezaji kuwekeza katika michezo hii ya kubashiri.

Miaka kadhaa nyuma ilikuwa ni ngumu sana kwa michezo hii kuingia nchini kutokana na mifumo isiyo rafiki, na mwamko wa wananchi kuwa hafifu kutokana na sababu ya suala la utandawazi lilikuwa bado sana nchini, na kama ulikuwa umeingia basi uligusa familia chache ambazo kiuchumi ni bora.

Kuingia kwa sayansi na teknolojia na uwepesi wa upatikanaji wa vifaa wezeshi kucheza, kumeifanya Tanzania kupiga hatua zaidi na kuongezeka kwa idadi kubwa ya watu wanaojishughulisha na michezo hii ya kubashiri. Hali ya ukuaji inatiwa nguvu pia na uwepo wa Makampuni ya simu, laptop, tablate yanayozalisha vitendea kazi hivyo kupatikana kwa urahisi na kwa bei nafuu kabisa, hivyo kupelekea hata mtu wa uchumi mdogo kuweza kumiliki vitendea kazi hivyo.

 Kuwepo kwa  tovuti zinazoongoza kwa  dondoo za utabiri wa mpira wa miguu nchini Tanzania zikikiongozwa na tanzaniatips zinatoa chaguzi anuwai za mpira wa miguu, zilizotafitiwa kwa uangalifu na kuchambuliwa na timu zao za wataalam nguli wa kubashiri mpira wa miguu. Kutumia kanuni na hesabu za ubashiri na mifumo ya kieletroniki, wataalam wao uchagua uteuzi bora wa bashiri za mpira wa miguu kila siku.  Hivyo nakushauri kabla hujaweka mkeka wako hakikisha unatembelea tovuti ya Tanzaniatips ili upate dondoo za michezo na ubashiri.

Kwa Kuzingatia ligi kuu za mpira wa miguu ulimwenguni kote pamoja na Ligi Kuu Uingereza, Serie A na La Liga, wataalam na mifumo ya wavuti nyingi mtandaoni  huandaa takwimu na dondoo kwa wafuasi wao. Kisha wanachapisha chaguzi zao zilizotafitiwa kwenye wavuti zao ili uone na kubashiri, zote ikiwa ni BURE! Kwa baadhi ya makampuni na mengine niunachangia kwa gharama nafuuu.

Ushindani wa tovuti mtandaoni nao umepelekea kuwepo kwa ongezeko kubwa la ukuaji wa ubashiri mitandaoni, kwa kumrahisishia mchezaji kushinda na sio kukosa, hilo nalo limekuwa ni sababu kubwa kabisa. Kutoa dondoo za ubashiri kila mara, maboresho ya odds pia yamefanya watu wengi kushiri katika michezo hii ya kubashiri kwa lengo kubwa la kujitengenezea kipato ili kujikimu kimaisha.

Kuwa  na tovuti  bora mitandaoni za vidokezo vya utabiri wa mpira nchini Tanzania, na zinazofanya kazi masaa 24 kwa siku, siku saba (7) kwa wiki, zinakupa vidokezo na dondoo za ubashiri wa mpira wa miguu mtandaoni. Na pia zinazo zingatia ligi kuu zote za mpira wa miguu duniani kote zinazo chambua na kuleta dondoo za ubashiri wenye faida!

Dondoo za Utabiri unaoendana na wakati wa sasa kuhusu mpira wa miguu unatafitiwa kwa uangalifu, kuchambuliwa na kupitishwa kwako – ikiwa ni rahisi  kabisa kwa mchezaji kucheza na kujishindia mkwanja. Ukuaji pia umetegemea zaidi na ubora wa Makampuni katika kumrahisishia mchezaji kucheza pasipo kuangaika kwani taarifa na matokeo ya mechi utolewa mara kwa mra.