Rais wa Uganda, Mhe. Museveni leo Mei 20, 2021 atafanya ziara ya kikazi ya siku 1 hapa nchini.

Akiwa nchini Mhe. Rais Museveni na Mhe. Rais Samia watashuhudia utiaji saini wa mikataba ya bomba la mafuta la Hoima - Tanga kati ya Tanzania na kampuni za uwekezaji katika mradi huo.