OFA OFA! Viwanja vilivyopimwa vinauzwa kibaha misugusugu, ukubwa ni mita 20kwa20(400m²) bei nikuanzia 1,000,000/=(2,500/) mpaka 1,800,000/=(4,500/=m²) tuu, unaweza kulipa kwa awamu ndani ya miezi minne.

- Eneo nizuri Sana nitambarare, udongo wa mchanga
- Ukinunua unajenga unaishi, kuna watu wengi
- Kuna Umeme, maji, barabara, mashule
- Kianzio  ni laki nne, Inayobaki unalipa  ndani ya miezi minne

Vipo kilomita tatu kutoka barabarani( morogoro road) 0714 090008/ 0767 090008