“Ni fahari na furaha kwangu kushiriki kuzindua kampeni hii ya #TigoGreenForKili ya upandaji miti 10,000 katika wilaya hii ya Hai kama sehemu ya mkakati wa kupanda miti 28,000 ili kurejesha theruji na hadhiya mlima wa kilimanjaro “

Mh. Anna Mghwira - Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro

“TUNASHUKURU sana @tigo_tanzania kwa kutuamini sisi kutunza miti hii 10,000 ambayo tutahusika kusimamia upandaji na utunzaje wake katika wilaya hii ya Hai.”

Asifiwe James - Mkurugenzi @voewofo

MITI YETU NI UHAI WETU na kwamba mahitaji mengi muhimu katika maisha yetu ya kila siku yanategemea miti kwa njia moja au nyingine”

Henry Kinabo - Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Kaskazini

Meneja wa Tigo kanda ya kaskazini Saidi Iddi akipanda mti wa #TigoGreenForKili kuunga mkono mkakati wa Tigo na wadau wake kurejesha mazingira rafiki pembezoni mwa Mlima Kilimanjaro ili kurejesha theruji ya Mlima huo iliyopo hatarini kutoweka kufikia mwaka 2033

Meneja wa Tigo kanda ya kaskazini Saidi Iddi akipanda mti wa #TigoGreenForKili kuunga mkono mkakati wa Tigo na wadau wake kurejesha mazingira rafiki pembezoni mwa Mlima Kilimanjaro ili kurejesha theruji ya Mlima huo iliyopo hatarini kutoweka kufikia mwaka 2033

Meneja wa Tigo kanda ya kaskazini Saidi Iddi akipanda mti wa #TigoGreenForKili kuunga mkono mkakati wa Tigo na wadau wake kurejesha mazingira rafiki pembezoni mwa Mlima Kilimanjaro ili kurejesha theruji ya Mlima huo iliyopo hatarini kutoweka kufikia mwaka 2033

Wafanyakazi wa @tigo_tanzania wakishirIki upandaji wa miti ya #TigoGreenForKili katika kuunga mkono mkakati wa kupanda miti 28,000 ili kurejesha theluji ya Mlima Kilimanjaro iliyoathiriwa kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi na shughuli za kibinadamu.

Wafanyakazi wa @tigo_tanzania wakishirIki upandaji wa miti ya #TigoGreenForKili katika kuunga mkono mkakati wa kupanda miti 28,000 ili kurejesha theluji ya Mlima Kilimanjaro iliyoathiriwa kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi na shughuli za kibinadamu.