1. Wizara ya Maji -Juma Aweso

2. Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo- Innocent Bashungwa

3. Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Vijana na wenye ulemavu- Jenister Mhagama

4. Waziri wa Afya, maendeleo ya jamii,jinsia na watoto - Doroth Gwajima (Mbunge mpya alikuwa naibu nkatibu mkuu)

5. Waziri wa nchi ofisi ya Rais Uwekezaji - Mkumbo Kitilya

6.Wizara ya Katiba na sheria- Mwigulu Nchemba

7.Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia- Prof Joyce Ndalichako

8.Mifugo na Uvuvi - Mashimba Mashauri Ndaki 

9.Maliasili na Utalii DK Ndumbalo Damas

10.Ofisi ya Rais TAMISEMI- Suleiman Jaffo

11. Wizara ya Madini- Dotto Biteko

12. Wizara ya Nishati- Dkt Medard Kalemani

13.Ujenzi na Uchukuzi mbunge mpya- Mhandisi Dkt Leonard Chamuliho (alikuwa Katibu Mkuu Uchukuzi)

14. Wizara ya Kilimo Prof.Adolph Mkenda.

15. Wizara ya Viwanda na Biashara- Mwambie Geofrey Idelphonce

16. Wizara ya Mambo ya ndani- George Simbachawene

17.Muungano na MAZINGIRA- Ummy Mwalimu

18. Wizara mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya habari- Dkt Faustine Ndugulile

19. Wizara ya Fedha- Dkt Philip Mpango

20. Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki- Prof Paramagamba Kabudi 

21. Wizara ya Ardhi- William Lukuvi

22. Wizara ya Ulinzi na JKT - Elias John Kuandikwa

23.Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora- Capt Mstaafu George Mkuchika