Tanzanian Gospel recording artist, and a born again Christina, Ambwene Mwasongwe is back with a brand new Gospel single tagged Neno La Kalvari
Mungu amekuwa mwema sana kwangu, pamoja na kupitia changamoto nyingi mwaka 2020, zikiwemo za kuuguliwa, kufiwa, bado nilipoteza watu muhimu sana, marafiki na washirika wenzangu wa huduma.