OFA OFA OFAAAAAA!
Funga mwaka na kumiliki kiwanja cha ndoto zako! Kwa mkopo nafuu kabisa usio kuwa na riba wala dhamana yoyote ile.  

Sasa unaweza kumiliki kiwanja kilicho pimwa na chenye hati kwa kulipa kidogo kidogo ndani ya mwaka mzima yaani miezi 12 na zaidi ya mwaka mmoja kwa viwanja vyetu vya Kigamboni (Gezaulole)

Hii ni ofa kabambe kwa wateja wetu wote wa viwanja hasa kwa msimu huu wa siku kuu za krismasi na mwaka mpya.
Viwanja vyetu vipo maeneo yafuatayo;

 - Goba (kisauke) bei 35,000 kwa Sqm

 - Madale (Flamingo) bei 40,000 kwa Sqm

 - Bunju "A" (kinondo - mji mpya) bei 25,000 kwa Sqm

 - Kerege (matumbi) bei 17,000 kwa Sqm

 - Mbweni (kiharaka) bei 25,000 kwa Sqm

- Kigamboni (Gezaulole) bei 18,000 kwa Sqm (ofa ya hivi viwanja ni kwamba mteja atalipia laki tano tano tu kila mwezi mpaka atakapo kamilisha malipo yake husika)

 - Mbezi (Luguruni) bei 35,000 kwa Sqm

 - Goba (lastanza) bei 45,000 kwa Sqm

NB: Viwanja vyetu vyote vimepimwa na vina hati, mteja atakabidhiwa hati miliki ya kiwanja chake husika mara tu baada ya kukamilisha malipo yake husika.
 - Ofisi yetu ipo jengo la Mwenge towet opposite na Mlimani city.
Tupigie: 0757712776 / 0656489722 / 0783389952