Jason Pope raia wa marekani amekamatwa na police kwa kusambaza VVU kwa makusudi akilenga wanawake weusi.

Mpaka anashtukiwa alikuwa ameumiza zaidi ya wanawake 600 wenye asili ya bara la Africa.

Wengi wao wanawake hao aliwapata kupitia mitandao ya kijamii na wakionana jamaa alikuwa na styles zake alizohakikisha lazima aambukize virusi vya Ukimwi kwa kila tendo moja la ndoa.

Wengi wa wanawake hao aliwashauri wafanye mapenzi kinyume na maumbile na alikuwa anajiweka mkavu muda wote ili patokee michubuko mingi wakati wa tendo la ngono. Kila aliyekutana naye alimwambukiza VVU.

Alifanya hivyo kwa kuamini kuwa wataueneza zaidi kwa wanaume weusi kwani wanapenda ngono kupita maelezo.

Bado msako zaidi unaendelea ili kuwabaini wanawake wote waliotembea na huyu bwana kwani siyo wazima kwa sababu waliojitokeza kwa mamlaka za usalama wote wana VIRUSI VYA UKIMWI.

Nini maoni yako?