Mheshimiwa Suleiman Bugara Mbwege ambaye anafahamika Africa Mashariki kwa msemo wake wa ulisikia wapi na kuviteka vichwa vya habari nchini Tanzania na Kenya, ameangushwa kwenye uchaguzi mkuu uliopita wa Ubunge.
Wakenya wengi jana walimtakia heri njema za uchaguzi lakini pia wengi hii leo wameghadhabishwa na habari za kuangushwa kwenye kinyang’anyiro kilichopita.
Breaking from Tanzania: Electoral commission of Tanzania in Kilwa North Constituency has just announced results. Kenya's favourite Ulisikia Wapi aka Bwege aka Selemani Bungara has lost his seat to Ally Kasinge of CCM. Supporters claim he was rigged out. #TanzaniaElections2020 pic.twitter.com/IquyV6UQG3
— Lord Abraham Mutai (@ItsMutai) October 30, 2020
Suleiman Bwege Aka Ooolisikia wapi? Sees Dusts in Tanzania's Elections! Failed to Secure his Seat….too sad Kenya is Mourning
pic.twitter.com/DIiv8btSHB
— #YouthAdvocate KE
(@YouthAdvocateKe) October 30, 2020
Sad that Kilwa South MP Selemani Bungara alias Bwege Oliskia wapi has been rigged. He had secured a landslide victory. Pombe Magufuli is a conman …. A dictator. pic.twitter.com/U5SVHdEXAp
— Abuga Makori EGH, MBE (@o_abuga) October 30, 2020
Imeandikwa na Changez Ndzai- Kenya
The post Wakenya wampa pole Bwege kwa kuangukia pua Ubunge Kilwa appeared first on Bongo5.com.