Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Mtwara Mjini amemtangaza Hassan Mtenga wa CCM kuwa Mshindi wa Ubunge Jimbo la Mtwara Mjini kwa kupata kura 22,411 akifuatiwa na Mgombea wa CUF, Maftaha Abdallah Nachuma aliyepata kura 13,586.