Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Newala Mjini Mkoani Mtwara amemtangaza George Huruma Mkuchika wa CCM kuwa Mshindi wa kiti cha Ubunge Newala Mjini kwa kupata kura 18,705 akifuatiwa na Issa Juma Chilindima (CHADEMA) mwenye kura 12,546.