Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya NMB, Dk. Edwin P. Mhede (katikati), Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna (wa tatu kushoto) na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Sanlam East Africa, Julius Magabe (wa pili kushoto) wakimkabidhi mfano wa hudi ya milioni 100 Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Prof. Lawrence Museru fedha zilizopatikana kwenye NMB Bima Marathon kwa ajili ya kusaidia matibabu ya watoto wenze ugonjwa wa saratani Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya NMB, Dk. Edwin P. Mhede (wa pili kushoto), Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna (wa pili kulia) na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Sanlam East Africa, Julius Magabe (kushoto) wakimkabidhi mfano wa hudi ya milioni 100 Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa (katikati). Fedha hiyo zilizopatikana kwenye NMB Bima Marathon zimetolewa kwa ajili ya kusaidia matibabu ya watoto wenze ugonjwa wa saratani katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya NMB, Dk. Edwin P. Mhede (wa pili kushoto), Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna (wa pili kulia) na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Sanlam East Africa, Julius Magabe (kushoto) wakimkabidhi mfano wa hudi ya milioni 100 Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa (katikati). Fedha hiyo zilizopatikana kwenye NMB Bima Marathon zimetolewa kwa ajili ya kusaidia matibabu ya watoto wenze ugonjwa wa saratani katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Prof. Lawrence Museru akimshukuru Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna (wa tatu kulia) mara baada za kupokea hundi hizo. Wa pili kulia ni Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa pamoja na meya kuu wakishuhudia.
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa (katikati), Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya NMB, Dk. Edwin P. Mhede (wa pili kushoto), pamoja na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna (kushoto) wakikabidhi zawadi mbalimbali kwa washindi wa NMB Bima Marathon.
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa (katikati), Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya NMB, Dk. Edwin P. Mhede (wa pili kushoto), pamoja na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna (kushoto) wakikabidhi zawadi mbalimbali kwa washindi wa NMB Bima Marathon.
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa (katikati), Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya NMB, Dk. Edwin P. Mhede (wa pili kushoto), pamoja na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna (kushoto) wakikabidhi zawadi mbalimbali kwa washindi wa NMB Bima Marathon.
Kulia mwalimu wa mazoezi za viungo akiongoza mazoezi ya viungo kwa washiriki wa NMB Bima Marathon.
Mazoezi ya viungo kwa washiriki wa NMB Bima Marathon wakiendelea.
Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna (katikati) akishiriki mazoezi ya viungo pamoja na maofisa wengine waandamiyi toka NMB na washiriki wengine wa NMB Bima Marathon.
Baadhi za washiriki wa NMB Bima Marathon wakivishwa medali mara baada za kumaliya mbio zao.
Picha za pamoja ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa meza kuu pamoja na wadau wa NMB Bima Marathon
Picha za pamoja ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa meza kuu pamoja na washindi mbalimbali.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza jambo na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna (katikati). Katikati zao ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, (Uwekezaji) Angellah Kairuki pamoja na Mkoa wa Dar es Salaam, Abubakar Kunenge (kulia).
The post NMB Bima Marathon wachangia Mil. 100 kwa watoto wenye saratani, Waziri Mkuu Majaliwa aagiza hospitali kuwa na wodi za watoto appeared first on Bongo5.com.