Katika hali ambayo haikutarajiwa na wengi mtangazaji mashuhuri nchini Hamis Mandi aka Bdozen ambaye kwa sasa anatangazia kituo cha redio cha E-FM amemvisha pete mpenzi wake wa siku nyingi aitwaye Faudhia.

Hii ni baada ya kuweka mahusiano yao private kwa miaka mingi sana...Faudhia alikuwa ni mfanyakazi mwenzake Clouds FM

Tazama Tukio Hapa: