“Sitoi ahadi za uongo sababu msema kweli ni mpenzi wa Mungu, sitaki nifanye dhambi kwa kuwaambia wazee wangu ya uongo, ninapenda siku moja nifike mbinguni ili Malaika waniambie ulifanya vizuri tunakupa hata Uwaziri wa Malaika”
The post JPM: Sitoi ahadi za uongo, napenda siku moja nifike mbinguni Malaika wanipe Uwaziri (+Video) appeared first on Bongo5.com.