Baada ya Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na kamati yake kupitisha majina ya wagombe wa Ubunge, Udiwa na viti maalumu kupitia chama cha mapinduzi CCM hivi leo.

Baadhi ya wadau wa muziki wameteuliwa ambao ni msanii wa muziki wa Bongo Fleva Mwana FA na meneja wa Diamond Platnumz Bbutale.


Baada ya uteuzi huo Mwana FA  ameandika ujumbe huu 

“Mungu ni mwema sana, Leo ni miongoni mwa zile siku chache, mimi nimeishiwa na sina la kusema, alama nyingine kuhusu ukubwa wa Mungu”