Mzee Moyo ambaye aliwahi kuwa Waziri katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Maridhiano Zanzibar, amefikwa na mauti hayo baada ya kusumbulia na maradhi kwa muda mrefu. Taratibu za msiba huo zinaendelea huko Tanga.
Inna lillah wainna ilayhi rajiuna.