Hashtag hiyo iliyoibua taharuki KUBWA kwa wapenzi wa msanii huyo (mashabiki) ikawalazimu kutafuta chanzo cha taarifa hiyo na baaadaye ilioneka tweet kutoka kwa jamaa mmoja iliyosomeka "I have Killed eminem"
-
Hata hivyo baadhi ya mashabiki waliaanza ku-share salamu zao za rambirambi wakidhani ni kweli #Eminem amefariki. Wengine wameitafsiri kama sio kifo cha kawaida bali ni kifo cha kimuziki.
Aidha, hadi sasa bado Eminem na uongozi wake hawajasema chochote juu ya taarifa hiyo.