Msemaji Mkuu wa Mambo ya Kimbea mbea huko Instagram Mwijaku amesema kwasasa msanii namba moja Tanzania ni Rich Mavoko na kwa mwaka huu Billboard wasipomtaja Mavoko basi yeye Mwijaku atatembea uchi, Hii ni kauli yake ya pili baada ya ile ya kwanza kusema hivyo kuwa ikitokea Diamond Platnumz atamuoa Tanasha Donna Basi Atetembea uchi na kweli Mondi Hakuweza Kumuoa Tanasha