China na Shirika la afya ulimwenguni WHO zinajadili mipango ya kubaini chanzo cha mlipuko wa virusi vya Corona, kufuatia ziara nchini humo, ya wataalamu wawili wa shirika hilo la Umoja wa Mataifa.
The post China, WHO kutafuta chanzo cha virusi vya Corona appeared first on Bongo5.com.