Home
About
Contact
Home
HABARI
FACTS
Home
NEWS
Breaking News: Rais Magufuli Afanya Uteuzi huu
Breaking News: Rais Magufuli Afanya Uteuzi huu
Rais Magufuli amemteua Joseph Mafuru kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Mkoani Dodoma akichukua nafasi ya Godwin Kunambi, kabla ya uteuzi huo Mafuru alikuwa Mkuu wa Idara ya Ardhi, Mipango Miji na Maliasili wa Jiji la Dodoma.
DOWNLOAD BONGO EXCLUSIVE APP ON PLAYSTORE FREE