Watu Watano Wamefariki Dunia na Wengine 14 Wamejeruliwa Wakitokea Kwenye Harusi
Watu watano wamefariki na wengine 14 wamejeruhiwa baada ya gari la abiria lililokuwa likitoka kwenye ya harusi kugongwa na trekta.
Ajali hiyo imetokea Bahi mkoani Dodoma ambapo watu hao walikuwa wakitokea kwenye sherehe ya harusi eneo la Makamba wilayani Manyoni mkoani Singida.
Taarifa kamili kuhusiana na tukio hilo tutawajulisha baadaye