Aliyekuwa Mume wa msaniii Shilole ambaye ni Uchebe1 amefunguka mengi kuhusu mambo Ambayo msanii Baba Levo kuwa anamuongelea mambo tofauti tofauti nakufunguka pia hashindani na mtu ambaye hajamzidi kipato
"Mimi Leo Nikipata Pesa Ninaweza Kumuita Mtu Aje Kunichekesha Ndio Kama Wale(BABA LEVO) , Usiombe Uwe Mwenye Akili Mbovu Ni Bora MUNGU Akunyime Pesa Akupe Akili Kwasababu Huwezi Sehemu Nzuri Watu Wanakuheshimu Ukaongea Speech Mbovu, Hivyo Siwezi Kubishana Nae Mtu Mpuuzi Usimpe Nafasi'' UCHEBE

