Zoezi la kuhesabu kura za maoni katika Jimbo la Bunda Mjini umekamilika, ambapo Robert Chacha Maboto ameongoza kwa kupata kura 140, akifuatiwa na Stephen Wasira aliyepata kura 115. 
 ---------
Robart Maboto kura 140
 Stephen Wasira kura 115 
Zuru Nanji kura 63