20200702_182410.jpg
Aliyewahi kuwa Diwani huko Moshi na mshirika wa masuala ya kisheria kuna tetesi za kulitaka jimbo hilo kupitia CCM.

Ikumbukwe ni hivi karibuni Wakili Msando alitoa misaada ya vitakasa mikono na barakoa ktk janga la corona na baadaye jeshi la polisi kumtia ndani kwa kile watu walichodai ni maelekezo ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa huo Mrisho Gambo kwa madai ni "maelekezo toka juu" kabla ya aliye juu kuamuru iwe hivyo kwa watakaogawa Barakoa.

Msando mwenye uzoefu wa sheria Takribani miaka 12 sasa na aliyeishi CHADEMA, ACT Wazalendo na sasa CCM
ni wazi ana uzoefu na masuala ya siasa