Breaking News: CPA Samwel Mwaisumbe ajitosa kuwania ubunge Jimbo la Lupa Chunya  ...aidha tumepata bahati ya kuhojiana naye nje ya ofisi za chama pia amesema Kama chama kitampa ridhaa ya kugombea ubunge ameahidi atafanya Mambo makubwa lakini tumepata bahati ya kujua historia yake fupi.... 
Mwaka 2015 nilikuwepo kwenye kinyanganyilo Mbeya Mjini mara hii nimehamia Lupa Chunya Mbeya nimempisha Dada yetu. 
Huku Chunya ndo home kata ya Chalangwa na nimewekeza sana kwenye Migodi ya dhahabu, Plant za kuchenjua dhahabu na Elusion za Kuchoma dhahabu
 Lilikuwa ni zoezi la urudishaji fomu kwa habari zinginezo kaa nasi Tujuzane App