Ziara ya Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu kwenye Mradi wa Kufua Umeme wa Maji wa Julius Nyerere inaendelea muda huu. Kazi kubwa imefanyika. #MIAKAMITANOYAKAZI
#Bongo5Updates:Ziara ya Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu kwenye Mradi wa Kufua Umeme wa Maji wa Julius Nyerere inaendelea muda huu. Kazi kubwa imefanyika. #MIAKAMITANOYAKAZI.(📸 by Msemaji mkuu wa Serikali) pic.twitter.com/tBsImCCErz
— bongo5.com (@bongofive) June 20, 2020
The post Ziara ya Makatibu na Naibu makatibu wakuu mradi wa kufua Umeme wa maji wa Julius Nyerere (+ Picha) appeared first on Bongo5.com.