• Home
  • About
  • Contact
BongoExclusive
BongoExclusive
  • Home
  • HABARI
  • FACTS
HomeNEWSWagonjwa wa Corona Kenya Wafika 2474 baada ya Wengine 134 Kuongezeka

Wagonjwa wa Corona Kenya Wafika 2474 baada ya Wengine 134 Kuongezeka

Katibu wa Wizara ya Afya Mercy Mwangangi ametangaza Ijumaa kuwa idadi ya waliothibitishwa kuambukizwa ugonjwa wa Covid-19 nchini Kenya imeongezeka na kufikia 2,474.

Akitoa taarifa ya kila ya siku kutoka kwa wizara kuhusu maambukizi mapya, Dkt. Mwangangi amesema watu 3,177 wamepimwa katika kipindi cha saa 24 zilizopita huku 134 wakithibitishwa kuambukizwa virusi vya corona.

Wizara hiyo imeongeza kwamba watu 90, 875 wamefanyiwa vipimo nchini Kenya hadi kufikia Juni 5.
DOWNLOAD BONGO EXCLUSIVE APP ON PLAYSTORE FREE
Tags:
NEWS

Menu Footer Widget

  • Home
  • About
  • Contact Us
Crafted with by TemplatesYard | Distributed by Blogger