Viwanja Bei nafuu: Bunju na Mapinga

Kwa Mapinga; viwanja vipo (Mji mpya) karibu na Kimere resort, km 2 kutoka main road (Dar to Bagamoyo Road).
Hapa vipo viwanja vya:
15/15 bei million 3,
20/20 bei million 6
20/30 bei million 8
20/40 bei million 11
Nusu eka bei million 26
Eka moja bei million 50
Huduma za umeme na maji zipo.

Kwa Bunju; vipo viwanja 4 na Kila kiwanja kina ukubwa wa 25/40 na bei ya kila kiwanja ni tsh 30 million.

Ukipata ujumbe huu mjulishe ndugu/jamaa/rafiki.
Hakuna dalali, mpigie mhusika: 0757100236