“Mimi natangaza nia ya kwenda kugombea Jimbo la Iringa Mjini. Mimi kule ndio maeneo ya kwetu kule ndiko alikozaliwa mama, Mchungaji Msigwa anatoka pale,”- Piere Liquid

Piere.jpg

Ndio maana kuna uzi nilisema ni rahisi sana kuwa mbunge kuliko kuwa mfagiaji wa bunge (angalau mfagiaji anatakiwa kuwa na cheti cha form four,awe na certificate of cleaning and maintenance)bila kusahau ajue lugha zote mbili kwa ufasaha

Pata picha mbunge lina
Harmonize
Piere liquid
Steve Nyerere
Kingwendu
Shilole
Irene Uwoya
Mwana FA

Hatarii hii lazima meza za bunge zipasuke kwa makofi.....mungu atupe uhai tufike Oktoba.