Spika jana ametishia kwamba eti ana faili la mambo yangu mengi, hawezi kunifunga mdomo nisifanye kazi yangu ya Kibunge. Kama ni faili hata mimi ninalo lake akimsema vibaya Mkuu na nikifunguka hata huko kujipendekeza kwake hataaminika tena. Niguse ninuke!
— peter msigwa (@MsigwaPeter) June 10, 2020