“Kwa maoni yangu tumefanya mipango mingi lakini bado mingine hatujaikamilisha na siamini kama atatokea mwingine wa kuikamilisha, hiki ndicho kilichonifanya nichukue fomu, sikutaka kuwa mbinafsi kwa sababu siyo mimi tu ninayestahili kuongoza”

The post JPM: Tumefanya mipango mingi bado mingine hatujaikamilisha na siamini kama atatokea mwingine wa kuikamilisha (+Video) appeared first on Bongo5.com.