Kada wa 25 wa Chama cha Mapinduzi Akiwa Mwanamke wa Pili kujitokeza katika Kinyanganyiro cha kugombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM Mhe.Hasna Attai Masoud akitoka katika jengo la Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar akiwa na Wapambe wake wakimshindikiza kuelekea katika eneo maalum lililoandaliwa kwa ajili ya kuzungumza na Waandishi wa Habari wa Vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar, baada ya kukamilisha zoezi hilo la uchukuaji wa Fomu leo 24-6-2020.