Ameandika B Dozen


"Naifahamu falsafa yao: falsafa ya muasisi @majizzo na Taasisi yote. Naujua utamaduni wao; utamaduni wa kuthamini zaidi vya nyumbani hasa kuanzia kule mtaani chini kabisa. Nia yangu ya ndani inaniambia hapa ndipo ninapotaka kuwa kwa sasa.


My New Family @efmtanzania na @tvetanzania asanteni kwa kunikaribisha. Najua #MuzikiUnaongea, naelewa #Tunavyoishi. Nifundisheni nisiyojua, tukue pamoja kama familia na jeshi kubwa la mtaa.


#HatupoiHatuboi 🙏🏼"