Mahakama ilitupilia Mbali shauri hilo tarehe 20 Septemba mwaka 2019 ambapo Serikali iliiomba mahakama imuamuru alipe faini .
Leo tarehe 7 Juni 2020, Ado Shaibu amewaambia waandishi wa Habari kuwa Serikali iliiomba mahakama iamuru alipe kiasi cha shilingi 123 Milioni kama fidia kwa kushindwa kesi.
Ado ametanabaisha kuwa hatua hiyo ya serikali ilikuwa ikilenga kumkatisha tamaa yeye na wanaharakati wengine wenye kutaka kuiwajibisha serikali mahakamai kwa kutaka alipe kiasi kikubwa cha fedha kama fidia