Wizara ya Afya Uganda imesema kuna ongezeko la mgonjwa mmoja wa corona na kufanya jumla ya maambukizi kufikia 89

Waliopona corona Uganda ni Watu 52 na hakuna kifo

Rais  wa nchi hiyo Yoweri Museveni leo jioni atalihutubia Taifa hilo kuhusu hatua zaidi baada ya siku 21 za lock down kukamilika kesho.