Watu 15 zaidi wameambukizwa ugonjwa wa corona  nchini Kenya ndani ya masaa 24.

Waziri wa Afya Mutahi Kagwe amesema leo Ijumaa, Mei 1, wakati wa kikao na wanahabari 

Idadi hiyo sasa inafikisha watu walioambukizwa virusi hivyo nchini Kenya kuwa 411. 

Aidha watu wanne pia wamefarikina kufikisha idadi ya waliofariki  kuwa 21.