Waziri wa Elimu Prof Joyce Ndalichako amesema, Mitihani ya Kidato cha 6 itaanza Juni 29, na kumalizika Julai 16, 2020, na mitihani hiyo itaenda sambamba na ile ya Ualimu na kulitaka Baraza la Mitihani kuhakikisha wanasambaza ratiba inayoonesha mitihani itakavyofanyika.

==>>Msikilize hapo chini