Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt @faustine_ndugulile amewataka Watanzania kuacha kuamini taarifa za uzushi na uongo zilizozushwa juu yake kuwa anaumwa na kusema kuwa:-
“Mimi ni mzima wa afya, Taarifa zinazosambaa kuwa ninaugua na kalazwa hospitalini ni uzushi zipuuzwe.”
"Tupuuze taarifa za uzushi zinazosambazwa kuhusu afya yangu. Niko mzima kabisa na ninaendelea na majukumu yangu. Pole nyingi kwa walioguswa na taarifa za uzushi."@DocFaustine Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Leo pic.twitter.com/mjCW4jQfrT
— Msumba News Blog (@MsumbaNews_) May 11, 2020
The post Ndugulile: “Mimi ni mzima siumwi, tupuuzie habari za uzushi kuwa naumwa” appeared first on Bongo5.com.