Mbunge Lwakatare Iibuka na Kumchana MBOWE "Kama Ningemsikiliza MBOWE na Kutii Agizo Lake la Kutoingia Bungeni Ningekuwa Mwehu Kupoteza Shilingi Milion 6"
''Kama nisingeingia bungeni na kutii agizo la Mbowe,
nilikuwa napoteza fedha karibu Milioni6 ambayo nimelipwa kama posho, ningekuwa mwehu kumsikiliza Mbowe halafu nizikose hela hizo wakati nimeshasema nastaafu siasa na hizo hela nazihitaji'' -Lwakatare afunguka