Askari watano wa Rwanda wamekamatwa baada ya wakazi wa kitongoji cha mji mkuu wa Kigali kudai waliwabaka wanawake walipokua wakitekeleza sheria ya kukaa nyumbani iliyowekwa kote nchini humo ili kuzuwia mambukizi ya Covid-19, limesema jeshi la Rwanda.

Wakazi wa kitongoji cha Nyarutarama wameiambia ofisi ya mwendesha mashtaka wa jeshi pia kwamba askari waliwapiga wakazi na kuwaibia mali zao, kulingana na mwandishi wa BBC mjini Kigali.

Mmoja wa waathiriwa amewambia waandishi wa habari kuwa mnamo tarehe 26 Machi, mwanajeshi aliyekua amejihami kwa silaha aliingia kwa nguvu katika nyumba yake na kumpiga mume wake, na alipokua akijaribu kuingilia kati kumzuwia askari asimbake.

Serikali ya Rwanda iliweka sheria ya kutotoka nje kote nchini humo ili kuzuwia kusambaa kwa virusi vya corona, lakini baadhi ya wakazi wamekua wakilalamika juu ya ukatili wanaofanyiwa na maafisa wa usalama wanaosimamia utekelezwaji wa sheria hiyo.

Wiki iliyopita wanaume wawili walipigwa risasi na kuuawa walipopatwa wakitembea nje.

Polisi ilisema kuwa wanaume hao walijaribu kuwashambulia maafisa wa polisi

Rwanda imethibitisha visa 84 vya Covid-19.

Ramani ya Coronavirus: Kasi ya kusambaa kwa virusi 4 Aprili 2020

Maelezo haya yanatokana na data za mara kwa mara kutoka Chuo kikuu cha Johns Hopkins na huenda yasiangazie hali halisi ya mambo yalivyo katika kila nchi.

Jumla ya visa vilivyothibitishwa Jumla ya vifo
1,100,283 58,929
Visa Vifo
Marekani 277,457 7,137
Italia 119,827 14,681
Uhispania 119,199 11,198
Ujerumani 91,159 1,275
Uchina 82,526 3,330
France 64,338 6,507
Iran 53,183 3,294
Uingereza 38,168 3,605
Uturuki 20,921 425
Uswizi 19,606 591
Belgium 16,770 1,143
Netherlands 15,725 1,487
Canada 12,545 188
Austria 11,524 168
Korea Kusini 10,156 177
Ureno 9,886 246
Brazil 9,216 365
Israel 7,428 40
Sweden 6,131 358
Norway 5,370 59
Australia 5,330 28
Ireland 4,273 120
Jamuhuri ya Czech 4,190 53
Urusi 4,149 34
Denmark 3,757 139
Chile 3,737 22
Poland 3,383 71
Ecuador 3,368 145
Malaysia 3,333 53
Romania 3,183 133
India 3,082 86
Ufilipino 3,018 136
Japan 2,935 69
Kashmir inayotawaliwa na Pakistan 2,686 40
Luxembourg 2,612 31
Saudi Arabia 2,039 25
Indonesia 1,986 181
Thailand 1,978 19
Mexico 1,688 60
Panama 1,673 41
Finland 1,615 20
Ugiriki 1,613 63
Peru 1,595 61
Afrika Kusini 1,505 9
Jamuhuri ya Dominica 1,488 68
Serbia 1,476 39
Iceland 1,364 4
Argentina 1,353 42
Colombia 1,267 25
Milki za Kiarabu 1,264 9
Algeria 1,171 105
Singapore 1,114 6
Croatia 1,079 8
Qatar 1,075 3
Ukrain 1,072 27
Misri 985 66
Estonia 961 12
New Zealand 950 1
Slovenia 934 20
Iraq 820 54
Morocco 791 48
Armenia 736 7
Mili ya Diamond Princess 712 11
Lithuania 696 9
Bahrain 672 4
Hungary 623 26
Moldova 591 8
Bosnia na Herzegovina 579 17
Cameroon 509 8
Lebanon 508 17
Tunisia 495 18
Latvia 493 1
Bulgeria 485 14
Kazakhstan 464 6
Slovakia 450 1
Azerbaijan 443 5
Andorra 439 16
Macedonia Kaskazini 430 12
Kuwait 417
Costa Rica 416 2
Cyprus 396 11
Uruguay 386 4
Puerto Rico 378 15
Belarus 351 4
Taipei ya China 348 5
Kisiwa cha Reunion 321
Jordan 310 5
lbania 304 17
Burkina Faso 302 16
Afghanistan 281 6
Cuba 269 6
Honduras 264 15
Oman 252 1
San Marino 251 32
Vietnam 239
Uzbekistan 227 2
Cote d’voire 218 1
Nigeria 210 4
Senegal 207 1
Ghana 205 5
Malta 202
Maeneo ya Wapalestina 194 1
Mauritius 186 7
Visiwa vya Faroe 179
Montenegro 174 2
Sri Lanka 159 5
Georgia 155
Venezuela 153 7
Jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo 148 16
Kyrgystan 144 1
Martinique 143 3
Bolivia 139 10
Brunei Darussalam 134 1
Guadeloupe 130 7
Mayotte 128 2
Kosovo 126 1
Kenya 122 4
Niger 120 5
Jersey 118 2
Guernsey 114 2
Cambodia 114
Isle of Man 114 1
Trinidad and Tobago 100 6
Paraguay 96 3
Gibraltar 95
Rwanda 89
Guam 84 4
Liechtenstein 75
Guinea 73
Madagascar 70
Monaco 64 1
Aruba 62
Bangaldesha 61 6
Guiana ya Ufaransa 57
Jamaica 53 3
Barbados 51
Guatemala 50 1
Djibouti 49
Uganda 48
El Salvador 46 3
Togo 40 3
Polynesia ya Ufaransa 39
Zambia 39 1
Mali 39 3
Visiwa vya Virgin vya Marekani 38
Bermuda 35
Ethiopia 35
Visiwa vya Cayman 29 1
Bahamas 24 3
Netherlands Antilles 23 4
Guyana 23 4
Congo 22 2
Eritrea 22
Saint Martin (Eneo la Ufaransa) 22 1
Gabon 21 1
Myanmar 20 1
Tanzania 20 1
Maldivers 19
New Caledonia 18
Haiti 18
Libya 17 1
Benin 16
Equitorial Guinea 16
Syria 16 2
Guinea_Bissau 15
Antigua na Barbuda 15
Dominica 14
Namibia 14
Mongolia 14
Saint Lucia 13
Grenada 12
Fiji 12
Netherlands Antilles 11 1
Suriname 10 1
Ushelisheli 10
Sudan 10 2
Jamuhuri ya kidemokraia ya watu wa Lao 10
Mozambique 10
Greenland 10
Zimbabwe 9 1
Eswatini 9
Saint Kitts na Vevis 9
Mili ya MS Zaandam 9 2
Jamuhuri ya Afrika ya Kati 8
Visiwa vya Kaskazini vya Mariana 8 1
Chad 8
Angola 8 2
Somalia 7
St St Vincent na Gradines 7
Liberia 7
Vatican 7
Nepal 6
Mauritania 6 1
Cape Verde 6 1
Montserrat 6
Saint Barthélemy 6
Turks nad Visiwa vya Caicos 5
Nicaragua 5 1
Bhutan 5
Gambia 4 1
Belize 4
Botswana 4 1
Burundi 3
Visiwa vya Virgin vya Uingereza 3
Malawi 3
Anguilla 3
Sierra Leone 2
Timor_Leste 1
Papua News Guinea 1
Chanzo BBC

The post Wanajeshi wa Rwanda wadaiwa kuwabaka raia wakati wa amri ya kutotoka nje, Watano wadaiwa wakamatwa appeared first on Bongo5.com.