Wakati mataifa mbalimbali yakiendelea kupokea visa vipya vya ugonjwa wa corona, huko nchini Uganda Waziri wa Afya ametangaza wagonjwa wengine saba kupona na kufanya idadi ya wagonjwa waliopona kufikia 46.
The post Wagonjwa wa corona 46 Uganda wapona, hakuna kifo appeared first on Bongo5.com.
