• Home
  • About
  • Contact
BongoExclusive
BongoExclusive
  • Home
  • HABARI
  • FACTS
HomeNEWSTaarifa Kwa Umma Toka Baraza la Mitihani Tanzania-NECTA

Taarifa Kwa Umma Toka Baraza la Mitihani Tanzania-NECTA


Baraza linapenda kuwajulisha kwamba ratiba ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2020 inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa Mtihani wa Kidato cha Sita umpangwa kufanyika kuanzia tarehe 9/10/2020 hadi 23/10/2020 ni ya Uongo. Hadi sasa ratiba ya mtihani huo bado haijatoka.
— Necta Tanzania (@NectaTz) April 7, 2020
DOWNLOAD BONGO EXCLUSIVE APP ON PLAYSTORE FREE
Tags:
NEWS

Menu Footer Widget

  • Home
  • About
  • Contact Us
Crafted with by TemplatesYard | Distributed by Blogger