Mwanaume mmoja akiwa anasukuma usafiri wa asili ili kumuwaisha Hospitali mgonjwa katika Manispaa ya Arua, Uganda...

 Mwanamke  huyo mgonjwa hakuweza kupata Bodaboda au usafiri mwingine  kufuatia usafiri wa umma kupigwa marufuku na Rais Museveni ili kuzuia corona kusambaa.

Credit/ Picha: Daily Monitor