Mtoto wa miaka 3 adumbukia kwenye mtaro na kupoteza maisha wakati akijaribu kuruka akielekea dukani – Video

Mtoto wa miaka mitatu, Adam Kaliambe amepoteza maisha baada ya kutumbukia katika mtaro mkubwa wa maji machafu akivuka kuelekea dukani mkoani Tanga.

Picha si halisi

The post Mtoto wa miaka 3 adumbukia kwenye mtaro na kupoteza maisha wakati akijaribu kuruka akielekea dukani – Video appeared first on Bongo5.com.