Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC),Dkt.Ayub Rioba Chacha ametangaza kifo cha mwandishi wa habari mwandamizi  wa TBC, Marin Hassan Marin kilichotokea leo asubuhi Dar es Salaam

Mipango ya mazishi inaendelea kufanywa na taairfa zaidi zitaendelea kutolewa.